MEGA.Bible Search
English

2 Mambo Ya Nyakati 24:11

Ikawa kila wakati kasha lilipoletwa ndani na Walawi kwa maafisa wa mfalme na kuona kwamba kuna kiasi kikubwa cha fedha, mwandishi wa mfalme na afisa wa kuhani mkuu walikuwa wanakuja na kumimina, kisha kulirudisha mahali pake. Walifanya hivi mara kwa mara, nao wakakusanya fedha nyingi sana.

Read in context

This verse in the real world

Cross-references

1Co 16:2, 2Ki 12:10–12

Embed this verse

Copy this HTML into your site — free to use, no keys, no tracking. Add ?theme=light or ?theme=dark to the address to match your page.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/24/11" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 24:11 — MEGA.Bible"></iframe>