1 Samweli 6:7
“Sasa basi, wekeni gari jipya la kukokotwa pamoja na ng’ombe wawili ambao wamezaa lakini ambao kamwe hawajafungwa nira. Fungieni hao ng’ombe hilo gari, lakini ondoeni ndama wao na mwaweke zizini.This verse in the real world
In what words
- עוּלʻûwlto suckle, i.e. give milk
- עֲגָלָהʻăgâlâhsomething revolving, i.e. a wheeled vehicle
- פָּרָהpârâha heifer
- עֹלʻôla yoke (as imposed on the neck), literally or figuratively
- חָדָשׁchâdâshnew
- אָסַרʼâçarto yoke or hitch; by analogy, to fasten in any sense, to join battle
- שְׁנַיִםshᵉnayimtwo; also (as ordinal) twofold
- אַחַרʼacharproperly, the hind part; generally used as an adverb or conjunction, after (in various sen
+7 more words in this verse
The Hebrew and Greek words standing behind this verse. Word-by-word alignment comes with the interlinear.