Amazia akamuuliza yule mtu wa Mungu, “Lakini itakuwaje kwa zile talanta mia moja za fedha nilizolipa kwa ajili ya haya majeshi ya Israeli?” Yule mtu wa Mungu akajibu, “Mwenyezi Mungu aweza kukupa zaidi ya hizo.”
Kopiere dieses HTML auf deine Website — frei nutzbar, ohne Schlüssel, ohne Tracking. Hänge ?theme=light oder ?theme=dark an die Adresse an, passend zu deiner Seite.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/25/9" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 25:9 — MEGA.Bible"></iframe>