Akawachukua majemadari wa mamia, watu waheshimiwa, viongozi wa watu pamoja na watu wote wa nchi na kumteremsha mfalme kutoka Hekalu la Mwenyezi Mungu. Wakaingia kwenye jumba la mfalme kupitia Lango la Juu na kumkalisha mfalme kwenye kiti cha ufalme;
Kopiere dieses HTML auf deine Website — frei nutzbar, ohne Schlüssel, ohne Tracking. Hänge ?theme=light oder ?theme=dark an die Adresse an, passend zu deiner Seite.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/23/20" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 23:20 — MEGA.Bible"></iframe>