Baadhi ya Wagadi wakajitenga na kujiunga na Daudi katika ngome yake huko jangwani. Walikuwa mashujaa hodari, wakiwa wamejiandaa kwa vita, na wenye uwezo wa kutumia ngao na mkuki. Nyuso zao zilikuwa nyuso za simba na walikuwa na wepesi kama paa milimani.
Kopiere dieses HTML auf deine Website — frei nutzbar, ohne Schlüssel, ohne Tracking. Hänge ?theme=light oder ?theme=dark an die Adresse an, passend zu deiner Seite.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/12/8" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 12:8 — MEGA.Bible"></iframe>