MEGA.Bible Пошук
Українська

Malaki 1:14

“Amelaaniwa yeye adanganyaye, aliye na mnyama wa kiume anayekubalika katika kundi lake na kuweka nadhiri ya kumtoa, lakini akatoa dhabihu ya mnyama aliye na dosari kwa Mwenyezi Mungu. Kwa kuwa mimi ni Mfalme Mkuu, nalo Jina langu linapaswa kuogopwa miongoni mwa mataifa,” asema Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni.

Читати в контексті

Вбудувати цей вірш

Скопіюйте цей HTML на свій сайт — вільне використання, без ключів, без стеження. Додайте ?theme=light або ?theme=dark до адреси, щоб пасувало вашій сторінці.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/mal/1/14" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Malaki 1:14 — MEGA.Bible"></iframe>