Watayaangamiza mazao yenu na chakula chenu, watawaangamiza wana wenu wa kiume na wa kike; watayaangamiza makundi yenu ya kondoo na ya ng’ombe, wataiangamiza mizabibu yenu na mitini yenu. Kwa upanga wataiangamiza miji yenye ngome mliyoitumainia.
Скопіюйте цей HTML на свій сайт — вільне використання, без ключів, без стеження. Додайте ?theme=light або ?theme=dark до адреси, щоб пасувало вашій сторінці.