Katika mwezi wa tisa wa mwaka wa tano wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, wakati wa kufunga mbele za Mwenyezi Mungu, ilitangazwa kwa watu wote waliokuwa Yerusalemu, na wale wote waliokuwa wamekuja kutoka miji ya Yuda.
Скопіюйте цей HTML на свій сайт — вільне використання, без ключів, без стеження. Додайте ?theme=light або ?theme=dark до адреси, щоб пасувало вашій сторінці.