Sanamu zao ni kama kinyago kilichowekwa katika shamba la matango kutishia ndege, nazo haziwezi kuongea; na kwa kuwa haziwezi kutembea zinabebwa. Usiziogope. Haziwezi kudhuru wala kutenda lolote jema.”
Скопіюйте цей HTML на свій сайт — вільне використання, без ключів, без стеження. Додайте ?theme=light або ?theme=dark до адреси, щоб пасувало вашій сторінці.