MEGA.Bible Пошук
Українська

Mhubiri 4:8

Kulikuwa na mtu aliye peke yake, hakuwa na mwana wala ndugu. Hapakuwa na mwisho wa kazi yake; hata hivyo macho yake hayakutosheka na utajiri wake. Aliuliza, “Ninajitaabisha hivi kwa ajili ya nani, nami kwa nini ninajinyima kufurahia?” Hili pia ni ubatili, ni shughuli yenye taabu!

Читати в контексті

Вбудувати цей вірш

Скопіюйте цей HTML на свій сайт — вільне використання, без ключів, без стеження. Додайте ?theme=light або ?theme=dark до адреси, щоб пасувало вашій сторінці.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/ecc/4/8" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Mhubiri 4:8 — MEGA.Bible"></iframe>