MEGA.Bible Пошук
Українська

2 Samweli 15:2

Akawa anaamka asubuhi na mapema na kusimama kando ya barabara inayoelekea kwenye lango la mji. Wakati wowote alipokuja mtu yeyote mwenye mashtaka yanayohitaji kuletwa mbele ya mfalme kwa maamuzi, Absalomu naye angemwita na kumuuliza, “Wewe unatoka mji upi?” Naye angejibu, “Mtumishi wako anatoka katika mojawapo ya makabila ya Israeli.”

Читати в контексті

Вбудувати цей вірш

Скопіюйте цей HTML на свій сайт — вільне використання, без ключів, без стеження. Додайте ?theme=light або ?theme=dark до адреси, щоб пасувало вашій сторінці.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2sa/15/2" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Samweli 15:2 — MEGA.Bible"></iframe>