Akajenga pia minara jangwani na kuchimba visima vingi vya maji, kwa sababu alikuwa na mifugo mingi chini ya vilima na katika nchi tambarare. Alikuwa na watu waliofanya kazi katika mashamba yake, na kwenye mashamba yake ya mizabibu huko vilimani na katika ardhi zenye rutuba, kwa kuwa aliupenda udongo.
Скопіюйте цей HTML на свій сайт — вільне використання, без ключів, без стеження. Додайте ?theme=light або ?theme=dark до адреси, щоб пасувало вашій сторінці.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/26/10" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 26:10 — MEGA.Bible"></iframe>