Waaramu walipoondoka, walimwacha Yoashi akiwa mgonjwa sana. Maafisa wake wakapanga njama dhidi yake kwa sababu alikuwa amemuua mwana wa Kuhani Yehoyada, nao wakamuua kitandani mwake. Hivyo akafa, wakamzika katika Mji wa Daudi, lakini si katika makaburi ya wafalme.
Скопіюйте цей HTML на свій сайт — вільне використання, без ключів, без стеження. Додайте ?theme=light або ?theme=dark до адреси, щоб пасувало вашій сторінці.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/24/25" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 24:25 — MEGA.Bible"></iframe>