Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani watoto kumi na wanne wa kiume na binti watatu.
Скопіюйте цей HTML на свій сайт — вільне використання, без ключів, без стеження. Додайте ?theme=light або ?theme=dark до адреси, щоб пасувало вашій сторінці.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/25/5" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 25:5 — MEGA.Bible"></iframe>