Daudi akawaza, “Nitamtendea wema Hanuni mwana wa Nahashi, kwa sababu baba yake alinitendea wema.” Hivyo Daudi akatuma wajumbe ili kumfariji Hanuni kwa ajili ya kifo cha baba yake. Watu wa Daudi walipofika kwa Hanuni katika nchi ya Waamoni ili kumfariji,
Скопіюйте цей HTML на свій сайт — вільне використання, без ключів, без стеження. Додайте ?theme=light або ?theme=dark до адреси, щоб пасувало вашій сторінці.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/19/2" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 19:2 — MEGA.Bible"></iframe>