Mtu hatamfundisha tena jirani yake, wala mtu kumfundisha ndugu yake, akisema, ‘Mjue Mwenyezi Mungu,’ kwa sababu wote watanijua mimi, kuanzia aliye mdogo hata aliye mkubwa kuliko wote,” asema Mwenyezi Mungu. “Nitasamehe uovu wao, wala sitazikumbuka dhambi zao tena.”
Kopyahin ang HTML na ito sa iyong site — malayang gamitin, walang susi, walang pagsubaybay. Idagdag ang ?theme=light o ?theme=dark sa address para tumugma sa iyong pahina.