Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, mashujaa hodari na viongozi maarufu. Idadi ya watu waliokuwa wamejiandaa kwa vita, kama walivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa elfu ishirini na sita.
Kopyahin ang HTML na ito sa iyong site — malayang gamitin, walang susi, walang pagsubaybay. Idagdag ang ?theme=light o ?theme=dark sa address para tumugma sa iyong pahina.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/7/40" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 7:40 — MEGA.Bible"></iframe>