Nebuzar-adan
“jemadari wa walinzi,” katika cheo aliyefuata baada ya mfalme, anayeonekana wazi katika kuongoza mambo wakati wa kutekwa kwa Yerusalemu (2 Fal. 25:8-20; Yer. 39:11; 40:2-5). Alimwonyesha Yeremia fadhili, kama alivyoamriwa na Nebukadreza (40:1). Miaka mitano baada ya haya alikuja Yerusalemu tena na kuwachukua mateka Wayahudi wengine mia saba arobaini na watano.
Imetajwa katika
2 Wafalme 25