Sefania 2:9
Hakika, kama niishivyo,” asema Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, Mungu wa Israeli, “hakika Moabu itakuwa kama Sodoma, Waamoni kama Gomora: mahali pa magugu na mashimo ya chumvi, nchi ya ukiwa milele. Mabaki ya watu wangu watawateka nyara; mabaki ya taifa langu watarithi nchi yao.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- מִכְרֶהmikreha pit (for salt)
- מִמְשָׁקmimshâqa possession
- חָרוּלchârûwlproperly, pointed, i.e. a bramble or other thorny weed
- עֲמֹרָהʻĂmôrâhAmorah, a place in Palestine
- מֶלַחmelachproperly, powder, i.e. (specifically) salt (as easily pulverized and dissolved)
- בָּזַזbâzazto plunder
- סְדֹםÇᵉdômSedom, a place near the Dead Sea
- שְׁמָמָהshᵉmâmâhdevastation; figuratively, astonishment
+maneno 15 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Isa 15:1–9, Isa 11:14, Deu 29:23, Isa 25:10, Jer 48:1–49:6, Isa 49:18, Zep 2:14, Jer 49:18


