Zekaria 12:4
Katika siku hiyo nitampiga kila farasi kwa hofu ya ghafula, naye ampandaye nitampiga kwa wazimu,” asema Mwenyezi Mungu. “Nitalielekeza jicho langu la ulinzi juu ya nyumba ya Yuda, nami nitawapofusha farasi wote wa mataifa.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- תִּמָּהוֹןtimmâhôwnconsternation
- שִׁגָּעוֹןshiggâʻôwncraziness
- פָּקַחpâqachto open (the senses, especially the eyes); figuratively, to be observant
- רָכַבrâkabto ride (on an animal or in a vehicle); causatively, to place upon (for riding or generall
- סוּסçûwça horse (as leaping); also a swallow (from its rapid flight)
- נְאֻםnᵉʼuman oracle
- נָכָהnâkâhto strike (lightly or severely, literally or figuratively)
- יְהוּדָהYᵉhûwdâhJehudah (or Judah), the name of five Israelites; also of the tribe descended from the firs
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.