Wimbo Ulio Bora 4:8
Nenda nami kutoka Lebanoni, bibi arusi wangu, nenda nami kutoka Lebanoni. Shuka kutoka ncha ya Amana, kutoka juu ya Seniri, kilele cha Hermoni, kutoka mapango ya simba na kutoka mlima wapendapo kukaa chui.Wimbo Ulio Bora 4:8 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- אֲמָנָהʼĂmânâhAmanah, a mountain near Damascus
- שְׁנִירShᵉnîyrShenir or Senir, a summit of Lebanon
- מְעוֹנָהmᵉʻôwnâh{an abode, of God (the Tabernacle or the Temple), men (their home) or animals (their lair)
- הָרָרhârâra mountain
- חֶרְמוֹןChermôwnChermon, a mount of Palestine
- שׁוּרshûwrto spy out, i.e. (generally) survey, (for evil) lurk for, (for good) care for
- כַּלָּהkallâha bride (as if perfect); hence, a son's wife
- לְבָנוֹןLᵉbânôwnLebanon, a mountain range in Palestine
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.

