Ruthu 2:19
Basi mkwewe akamuuliza, “Je, umeokota wapi leo? Umefanya kazi wapi? Abarikiwe mtu yule aliyekujali.” Ndipo Ruthu akamwambia mama mkwe wake kuhusu mtu ambaye alikuwa amemfanyia kazi katika shamba lake. Akasema, “Yule mtu niliyefanyia kazi kwake leo, anaitwa Boazi.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- חֲמוֹתchămôwtha mother-in-law
- אֵיפֹהʼêyphôhwhat place?; also (of time) when?; or (of means) how?
- לָקַטlâqaṭproperly, to pick up, i.e. (generally) to gather; specifically, to glean
- נָכַרnâkarproperly, to scrutinize, i.e. look intently at; hence (with recognition implied), to ackno
- בָרַךְbârakto kneel; by implication to bless God (as an act of adoration), and (vice-versa) man (as a
- נָגַדnâgadproperly, to front, i.e. stand boldly out opposite; by implication (causatively), to manif
- שֵׁםshêman appellation, as amark or memorial of individuality; by implication honor, authority, ch
- אִישׁʼîysha man as an individual or a male person; often used as an adjunct to a more definite term
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.