MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

Ruthu 2:19

Basi mkwewe akamuuliza, “Je, umeokota wapi leo? Umefanya kazi wapi? Abarikiwe mtu yule aliyekujali.” Ndipo Ruthu akamwambia mama mkwe wake kuhusu mtu ambaye alikuwa amemfanyia kazi katika shamba lake. Akasema, “Yule mtu niliyefanyia kazi kwake leo, anaitwa Boazi.”

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Nani

Boaz

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/rut/2/19" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Ruthu 2:19 — MEGA.Bible"></iframe>