Warumi 7:13
Je, kile kilicho chema basi kilikuwa mauti kwangu? La, hasha! Lakini ili dhambi itambuliwe kuwa ni dhambi, ilileta mauti ndani yangu kupitia kile kilichokuwa chema, ili kupitia kwa amri dhambi izidi kuwa mbaya kupita kiasi.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- ὑπερβολήhyperbolḗa throwing beyond others, i.e. (figuratively) supereminence; adverbially (with G1519 (εἰς)
- κατεργάζομαιkatergázomaito work fully, i.e. accomplish; by implication, to finish, fashion
- φαίνωphaínōto lighten (shine), i.e. show (transitive or intransitive, literal or figurative)
- ἐντολήentolḗinjunction, i.e. an authoritative prescription
- ἐμοίemoíto me
- ἀγαθόςagathós"good" (in any sense, often as noun)
- θάνατοςthánatos(properly, an adjective used as a noun) death (literally or figuratively)
- ἁμαρτίαhamartíaa sin (properly abstract)
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.