Warumi 6:16
Je, hamjui kwamba mnapojitoa kwa mtu yeyote kama watumwa watiifu, ninyi ni watumwa wa yule mnayemtii? Iwe ni watumwa wa dhambi ambayo matokeo yake ni mauti, au watumwa wa utii ambao matokeo yake ni haki?Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- ἤτοιḗtoieither indeed
- ὑπακοήhypakoḗattentive hearkening, i.e. (by implication) compliance or submission
- ὑπακούωhypakoúōto hear under (as a subordinate), i.e. to listen attentively; by implication, to heed or c
- παρίστημιparístēmito stand beside, i.e. (transitively) to exhibit, proffer, (specially), recommend, (figurat
- θάνατοςthánatos(properly, an adjective used as a noun) death (literally or figuratively)
- ἐστέestéye are
- δοῦλοςdoûlosa slave (literal or figurative, involuntary or voluntary; frequently, therefore in a quali
- ἁμαρτίαhamartíaa sin (properly abstract)
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Jhn 8:34, Mat 6:24, 2Pe 2:19, Jos 24:15, Rom 6:12–13, Rom 6:19–23, Rom 6:17