Warumi 6:13
Wala msivitoe viungo vya miili yenu vitumike kama vyombo vya uovu vya kutenda dhambi, bali jitoeni kwa Mungu, kama watu waliotolewa kutoka mautini kuingia uzimani. Nanyi vitoeni viungo vya miili yenu kwake kama vyombo vya haki.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- ὅπλονhóplonan implement or utensil or tool (literally or figuratively, especially, offensive for war)
- ἀδικίαadikía(legal) injustice (properly, the quality, by implication, the act); morally, wrongfulness
- μέλοςmélosa limb or part of the body
- παρίστημιparístēmito stand beside, i.e. (transitively) to exhibit, proffer, (specially), recommend, (figurat
- μηδέmēdébut not, not even; in a continued negation, nor
- δικαιοσύνηdikaiosýnēequity (of character or act); specially (Christian) justification
- νεκρόςnekrósdead (literally or figuratively; also as noun)
- ζάωzáōto live (literally or figuratively)
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.