Warumi 4:16
Kwa hiyo, ahadi huja kupitia kwa imani, ili iwe ni kwa neema, na ihakikishiwe wazao wote wa Ibrahimu, si kwa wale walio wa sheria peke yao, bali pia kwa wale walio wa imani ya Ibrahimu. Yeye ndiye baba yetu sisi sote.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- βέβαιοςbébaiosstable (literally or figuratively)
- ἐπαγγελίαepangelíaan announcement (for information, assent or pledge; especially a divine assurance of good)
- σπέρμαspérmasomething sown, i.e. seed (including the male "sperm"); by implication, offspring; special
- ἈβραάμAbraámAbraham, the Hebrew patriarch
- μόνονmónonmerely
- εἶναιeînaito exist
- νόμοςnómoslaw (through the idea of prescriptive usage), genitive case (regulation), specially, (of M
- χάριςchárisgraciousness (as gratifying), of manner or act (abstract or concrete; literal, figurative
+maneno 15 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.