Warumi 2:15
Wao wanaonesha kwamba lile linalotakiwa na sheria limeandikwa kwenye mioyo yao, ambayo pia dhamiri zao zikiwashuhudia, nayo mawazo yao yenye kupingana yatawashtaki au kuwatetea.)Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- γραπτόςgraptósinscribed (figuratively)
- λογισμόςlogismóscomputation, i.e. (figuratively) reasoning (conscience, conceit)
- συμμαρτυρέωsymmartyréōto testify jointly, i.e. corroborate by (concurrent) evidence
- ἀπολογέομαιapologéomaito give an account (legal plea) of oneself, i.e. exculpate (self)
- μεταξύmetaxýbetwixt (of place or person); (of time) as adjective, intervening, or (by implication) adj
- ἐνδείκνυμιendeíknymito indicate (by word or act)
- κατηγορέωkatēgoréōto be a plaintiff, i.e. to charge with some offence
- συνείδησιςsyneídēsisco-perception, i.e. moral consciousness
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
2Co 5:11, 2Co 1:12, Tit 1:15, Rom 1:18–19, 1Jn 3:19–21, Rom 9:1, Job 27:6, 1Ti 4:2