Warumi 1:27
Vivyo hivyo wanaume pia wakaacha mahusiano ya kimwili ya asili na wanawake, wakawakiana kwa tamaa mbaya wao kwa wao. Wanaume wakafanya matendo ya aibu na wanaume wengine, nao wakapata adhabu waliyostahili kwa ajili ya upotovu wao.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- ἐκκαίωekkaíōto inflame deeply
- ὄρεξιςórexisexcitement of the mind, i.e. longing after
- ἀσχημοσύνηaschēmosýnēan indecency; by implication, the pudenda
- ἀντιμισθίαantimisthíarequital, correspondence
- χρῆσιςchrēsisemployment, i.e. (specially), sexual intercourse (as an occupation of the body)
- θῆλυςthēlysfemale
- φυσικόςphysikós"physical", i.e. (by implication) instinctive
- ἄῤῥηνárrhēnmale (as stronger for lifting)
+maneno 13 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.