Ufunuo 9:17
Hivi ndivyo nilivyowaona hao farasi na wapanda farasi katika maono yangu: Wapanda farasi walivaa dirii vifuani zenye rangi nyekundu sana kama ya moto, na yakuti samawi, na kiberiti. Vichwa vya hao farasi vilikuwa kama vichwa vya simba, na moto, moshi na kiberiti vilitoka vinywani mwao.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- θειώδηςtheiṓdēssulphur-like, i.e. sulphurous
- πύρινοςpýrinosfiery, i.e. (by implication) flaming
- ὑακίνθινοςhyakínthinos"hyacinthine" or "jacinthine", i.e. deep blue
- ὅρασιςhórasisthe act of gazing, i.e. (externally) an aspect or (internally) an inspired appearance
- θώραξthṓraxthe chest ("thorax"), i.e. (by implication) a corslet
- λέωνléōna "lion"
- καπνόςkapnóssmoke
- ἵπποςhípposa horse
+maneno 14 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.