Ufunuo 8:12
Kisha malaika wa nne akaipiga tarumbeta yake, na theluthi ya jua, theluthi ya mwezi na theluthi ya nyota zikapigwa. Kwa hiyo theluthi moja ya mwanga ikawa giza. Theluthi ya mchana ikawa haina mwanga na pia theluthi ya usiku.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- πλήσσωplḗssōto pound, i.e. (figuratively) to inflict with (calamity)
- σκοτίζωskotízōto obscure (literally or figuratively)
- σελήνηselḗnēprobably akin to the alternate of G138 (αἱρέομαι), through the idea of attractiveness); th
- τέταρτοςtétartosfourth
- σαλπίζωsalpízōto trumpet, i.e. sound a blast (literally or figuratively)
- ἀστήρastḗra star (as strown over the sky), literally or figuratively
- φαίνωphaínōto lighten (shine), i.e. show (transitive or intransitive, literal or figurative)
- ἥλιοςhḗliosperhaps akin to the alternate of G138 (αἱρέομαι)); the sun; by implication, light
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Jol 2:31, Jol 2:10, Isa 13:10, Zec 13:8–9, Rev 6:12, Rev 8:7–12, Mat 24:29, 2Th 2:9–12