Ufunuo 5:8
Alipokwisha kukitwaa kile kitabu, wale viumbe wenye uhai wanne pamoja na wale wazee ishirini na wanne wakaanguka mbele ya yule Mwana-Kondoo. Kila mmoja wao alikuwa na kinubi, nao walikuwa wameshika mabakuli ya dhahabu yaliyojaa uvumba, ambayo ni maombi ya watakatifu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- κιθάραkitháraa lyre
- θυμίαμαthymíamaan aroma, i.e. fragrant powder burnt in religious service; by implication, the burning its
- εἴκοσιeíkosia score
- γέμωgémōto swell out, i.e. be full
- φιάληphiálēa broad shallow cup ("phial")
- χρύσεοςchrýseosmade of gold
- ζῶονzōona live thing, i.e. an animal
- ἀρνίονarníona lambkin
+maneno 13 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Psa 141:2, Rev 8:3–4, Php 2:9–11, Rev 4:10, Psa 33:2, Rev 5:14, Rev 14:2–3, Rev 4:8