Ufunuo 5:6
Ndipo nikaona katikati ya kile kiti cha enzi na wale viumbe wenye uhai wanne, na katikati ya wale wazee, Mwana-Kondoo amesimama, akiwa kama amechinjwa. Alikuwa na pembe saba na macho saba, ambazo ndizo zile Roho saba za Mungu zilizotumwa duniani pote.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- κέραςkérasa horn (literally or figuratively)
- σφάζωspházōto butcher (especially an animal for food or in sacrifice) or (generally) to slaughter, or
- ζῶονzōona live thing, i.e. an animal
- ἀρνίονarníona lambkin
- τέσσαρεςtéssaresfour
- θρόνοςthrónosa stately seat ("throne"); by implication, power or (concretely) a potentate
- μέσοςmésosmiddle (as an adjective or (neuter) noun)
- ἑπτάheptáseven
+maneno 16 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.