Ufunuo 5:11
Kisha nikatazama, nikasikia sauti za malaika wengi wakiwa wamekizunguka kile kiti cha enzi, pamoja na wale viumbe wenye uhai wanne na wale wazee ishirini na wanne. Idadi yao ilikuwa kumi elfu mara kumi elfu na maelfu ya maelfu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- κυκλόθενkyklóthenfrom the circle, i.e. all around
- μυριάςmyriása ten-thousand; by extension, a "myriad" or indefinite number
- χιλιάςchiliásone thousand ("chiliad")
- ἀριθμόςarithmósa number (as reckoned up)
- ζῶονzōona live thing, i.e. an animal
- θρόνοςthrónosa stately seat ("throne"); by implication, power or (concretely) a potentate
- πρεσβύτεροςpresbýterosolder; as noun, a senior; specially, an Israelite Sanhedrist (also figuratively, member of
- φωνήphōnḗa tone (articulate, bestial or artificial); by implication, an address (for any purpose),
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.