Ufunuo 20:9
Nao walitembea katika eneo lote la dunia, wakaizunguka kambi ya watakatifu na ule mji unaopendwa. Lakini moto ukashuka kutoka mbinguni na kuwateketeza.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- πλάτοςplátoswidth
- κυκλόωkyklóōto encircle, i.e. surround
- παρεμβολήparembolḗa throwing in beside (juxtaposition), i.e. (specially), battle-array, encampment or barrac
- κατεσθίωkatesthíōto eat down, i.e. devour (literally or figuratively)
- πῦρpŷr"fire" (literally or figuratively, specially, lightning)
- ἀναβαίνωanabaínōto go up (literally or figuratively)
- καταβαίνωkatabaínōto descend (literally or figuratively)
- ἀγαπάωagapáōto love (in a social or moral sense)
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Ezk 38:16, Ezk 39:6, Ezk 38:9, Ezk 38:22, 2Th 1:8, Psa 97:3, Psa 125:1–2, Psa 106:18