Ufunuo 20:4
Kisha nikaona viti vya utawala vilivyokuwa vimekaliwa na wale waliopewa mamlaka ya kuhukumu. Tena nikaona roho za wale waliokatwa vichwa kwa sababu ya ushuhuda wa Isa na kwa sababu ya neno la Mungu. Hawakuwa wamemsujudu huyo mnyama wala sanamu yake wala hawakupokea ile chapa yake kwenye paji za nyuso zao au kwenye mikono yao. Wakawa hai na kutawala pamoja na Al-Masihi miaka elfu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- πελεκίζωpelekízōto chop off (the head), i.e. truncate
- μέτωπονmétōponthe forehead (as opposite the countenance)
- χάραγμαcháragmaa scratch or etching, i.e. stamp (as a badge of servitude), or scupltured figure (statue)
- χίλιοιchílioia thousand
- βασιλεύωbasileúōto rule (literally or figuratively)
- εἰκώνeikṓna likeness, i.e. (literally) statue, profile, or (figuratively) representation, resemblanc
- κρίμαkrímaa decision (the function or the effect, for or against ("crime"))
- μαρτυρίαmartyríaevidence given (judicially or genitive case)
+maneno 22 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.