Ufunuo 20:12
Nami nikawaona wafu, wakubwa na wadogo, wakiwa wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi na vitabu vikafunguliwa. Pia kitabu kingine kikafunguliwa ambacho ni kitabu cha uzima. Hao wafu wakahukumiwa sawasawa na matendo yao kama yalivyoandikwa ndani ya hivyo vitabu.Ufunuo 20:12 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- βιβλίονbiblíona roll
- μικρόςmikróssmall (in size, quantity, number or (figuratively) dignity)
- ἀνοίγωanoígōto open up (literally or figuratively, in various applications)
- ἐνώπιονenṓpionin the face of (literally or figuratively)
- κρίνωkrínōby implication, to try, condemn, punish
- νεκρόςnekrósdead (literally or figuratively; also as noun)
- ζωήzōḗlife (literally or figuratively)
- ἄλλοςállos"else," i.e. different (in many applications)
+maneno 12 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.