Ufunuo 19:9
Ndipo malaika akaniambia, “Andika: ‘Wamebarikiwa wale walioalikwa kwenye karamu ya arusi ya Mwana-Kondoo!’ ” Naye akaongeza kusema, “Haya ndio maneno ya kweli ya Mungu.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- γάμοςgámosnuptials
- δεῖπνονdeîpnondinner, i.e. the chief meal (usually in the evening)
- ἀρνίονarníona lambkin
- ἀληθινόςalēthinóstruthful
- μακάριοςmakáriossupremely blest; by extension, fortunate, well off
- καλέωkaléōto "call" (properly, aloud, but used in a variety of applications, directly or otherwise)
- εἰσίeisíthey are
- γράφωgráphōto "grave", especially to write; figuratively, to describe
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Rev 22:6, Luk 14:15–16, Mat 22:2–4, Rev 1:19, Rev 19:7–8, Rev 21:5, Rev 19:10–11, Rev 3:20