Ufunuo 19:17
Nami nikamwona malaika amesimama ndani kwenye jua, naye akaita ndege wote warukao angani kwa sauti kuu, “Njooni, kusanyikeni kwa ajili ya karamu kubwa ya Mungu,Ufunuo 19:17 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- ὄρνεονórneona birdling
- μεσουράνημαmesouránēmamid-sky
- πέτομαιpétomaito fly
- δεῖπνονdeîpnondinner, i.e. the chief meal (usually in the evening)
- δεῦτεdeûtecome hither!
- ἥλιοςhḗliosperhaps akin to the alternate of G138 (αἱρέομαι)); the sun; by implication, light
- κράζωkrázōproperly, to "croak" (as a raven) or scream, i.e. (genitive case) to call aloud (shriek, e
- συνάγωsynágōto lead together, i.e. collect or convene; specially, to entertain (hospitably)
+maneno 11 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Rev 19:21, Rev 8:13, Ezk 39:17–20, Jer 12:9, Isa 34:1–8, Isa 56:9, Rev 14:6