Ufunuo 18:22
Nyimbo za wapiga vinubi na waimbaji, wapiga filimbi na wapiga tarumbeta kamwe hazitasikika tena ndani yako. Ndani yako kamwe hataonekana tena fundi mwenye ujuzi wa aina yoyote. Wala sauti ya jiwe la kusagia kamwe haitasikika tena.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- μουσικόςmousikós"musical", i.e. (as noun) a minstrel
- σαλπιστήςsalpistḗsa trumpeter
- κιθαρῳδόςkitharōidósa lyre-singer(-player), i.e. harpist
- αὐλητήςaulētḗsa flute-player
- τέχνηtéchnēart (as productive), i.e. (specially), a trade, or (generally) skill
- τεχνίτηςtechnítēsan artisan; figuratively, a founder (Creator)
- μύλοςmýlosa "mill", i.e. (by implication), a grinder (millstone)
- ἔτιéti"yet," still (of time or degree)
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.