Ufunuo 17:3
Kisha yule malaika akanichukua katika Roho wa Mungu, akanipeleka jangwani. Huko nikamwona mwanamke mmoja ameketi juu ya mnyama mwekundu aliyejaa majina ya kumkufuru Mungu mwili mzima. Mnyama huyo alikuwa na vichwa saba na pembe kumi.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- ἀποφέρωapophérōto bear off (literally or relatively)
- κόκκινοςkókkinoscrimson-colored
- γέμωgémōto swell out, i.e. be full
- βλασφημίαblasphēmíavilification (especially against God)
- δέκαdékaten
- θηρίονthēríona dangerous animal
- ἔρημοςérēmos
- ἑπτάheptáseven
+maneno 12 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Rev 12:3, Rev 13:1–6, Rev 12:6, Rev 17:18, Rev 17:9–12, Rev 17:6–7, Rev 12:14, Dan 7:20