Ufunuo 17:14
Watafanya vita na Mwana-Kondoo, lakini Mwana-Kondoo atawashinda kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme. Yeye atakuwa pamoja na watu wake walioitwa ambao ni wateule wake na wafuasi wake waaminifu.”Ufunuo 17:14 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- πολεμέωpoleméōto be (engaged) in warfare, i.e. to battle (literally or figuratively)
- κλητόςklētósinvited, i.e. appointed, or (specially), a saint
- ἐκλεκτόςeklektósselect; by implication, favorite
- ἀρνίονarníona lambkin
- νικάωnikáōto subdue (literally or figuratively)
- βασιλεύςbasileúsa sovereign (abstractly, relatively, or figuratively)
- οὗτοςhoûtosthe he (she or it), i.e. this or that (often with article repeated)
- μετάmetáproperly, denoting accompaniment; "amid" (local or causal); modified variously according t
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.