Ufunuo 15:7
Ndipo mmoja wa wale viumbe wanne wenye uhai akawapa wale malaika saba mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu, yeye aishiye milele na milele.Ufunuo 15:7 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- γέμωgémōto swell out, i.e. be full
- φιάληphiálēa broad shallow cup ("phial")
- χρύσεοςchrýseosmade of gold
- θυμόςthymóspassion (as if breathing hard)
- ζῶονzōona live thing, i.e. an animal
- τέσσαρεςtéssaresfour
- ἑπτάheptáseven
- αἰώνaiṓnproperly, an age; by extension, perpetuity (also past); by implication, the world; special
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.