Ufunuo 14:4
Hawa ndio wale ambao hawakujitia unajisi kwa wanawake, kwa kuwa wao ni bikira. Wao humfuata Mwana-Kondoo kila aendako. Hawa wamekombolewa kutoka miongoni mwa wanadamu wakawa malimbuko kwa Mungu na kwa Mwana-Kondoo.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- μολύνωmolýnōto soil (figuratively)
- ἀπαρχήaparchḗa beginning of sacrifice, i.e. the (Jewish) first-fruit (figuratively)
- παρθένοςparthénosa maiden; by implication, an unmarried daughter
- ἀρνίονarníona lambkin
- ἀγοράζωagorázōproperly, to go to market, i.e. (by implication) to purchase; specially, to redeem
- ὑπάγωhypágōto lead (oneself) under, i.e. withdraw or retire (as if sinking out of sight), literally o
- ὅπουhópouwhat(-ever) where, i.e. at whichever spot
- ἀκολουθέωakolouthéōproperly, to be in the same way with, i.e. to accompany (specially, as a disciple)
+maneno 13 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.