Ufunuo 14:10
yeye pia atakunywa mvinyo wa hasira kali ya Mungu ambayo imemiminwa katika kikombe cha ghadhabu yake pasipo kuchanganywa na maji. Naye atateswa kwa moto uwakao na kiberiti mbele ya malaika watakatifu na mbele za Mwana-Kondoo.Ufunuo 14:10 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- ἄκρατοςákratosundiluted
- κεράννυμιkeránnymito mingle, i.e. (by implication) to pour out (for drinking)
- θεῖονtheîonsulphur
- βασανίζωbasanízōto torture
- θυμόςthymóspassion (as if breathing hard)
- οἶνοςoînos"wine" (literally or figuratively)
- ποτήριονpotḗriona drinking-vessel; by extension, the contents thereof, i.e. a cupful (draught); figurative
- ὀργήorgḗproperly, desire (as a reaching forth or excitement of the mind), i.e. (by analogy), viole
+maneno 11 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.