Ufunuo 1:20
Kuhusu siri ya zile nyota saba ulizoziona katika mkono wangu wa kuume na vile vinara saba vya taa vya dhahabu ni hii: Zile nyota saba ni malaika wa yale makundi saba ya waumini, navyo vile vinara saba ni hayo makundi saba.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- λυχνίαlychníaa lamp-stand (literally or figuratively)
- χρύσεοςchrýseosmade of gold
- ἀστήρastḗra star (as strown over the sky), literally or figuratively
- μυστήριονmystḗriona secret or "mystery" (through the idea of silence imposed by initiation into religious ri
- δεξιόςdexiósthe right side or (feminine) hand (as that which usually takes)
- ἑπτάheptáseven
- ἐκκλησίαekklēsíaa calling out, i.e. (concretely) a popular meeting, especially a religious congregation (J
- εἰσίeisíthey are
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.