Nehemia 13:5
naye alikuwa amempa Tobia chumba kikubwa ambacho mwanzo kilikuwa kikitumika kuweka sadaka za nafaka, uvumba na vyombo vya Hekalu, pamoja na zaka za nafaka, divai mpya na mafuta waliyoagizwa Waisraeli kwa ajili ya Walawi, waimbaji na mabawabu wa lango, pamoja na matoleo kwa makuhani.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- לְבוֹנָהlᵉbôwnâhfrankincense (from its whiteness or perhaps that of its smoke)
- יִצְהָרyitshâroil (as producing light); figuratively, anointing
- מַעֲשֵׂרmaʻăsêra tenth; especially a tithe
- תִּירוֹשׁtîyrôwshmust or fresh grape-juice (as just squeezed out); by implication (rarely) fermented wine
- שׁוֹעֵרshôwʻêra janitor
- דָּגָןdâgânproperly, increase, i.e. grain
- לִשְׁכָּהlishkâha room in a building (whether for storage, eating, or lodging)
- תְּרוּמָהtᵉrûwmâha present (as offered up), especially in sacrifice or as tribute
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.