Mathayo 5:19
Kwa hiyo, yeyote atakayevunja mojawapo ya amri ndogo kuliko zote ya amri hizi, naye akawafundisha wengine kufanya hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni, lakini yeyote azitendaye na kuzifundisha hizi amri ataitwa mkuu katika ufalme wa mbinguni.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- ἐλάχιστοςeláchistosused as equivalent to G3398 (μικρός); least (in size, amount, dignity, etc.)
- λύωlýōto "loosen" (literally or figuratively)
- τούτωνtoútōnof (from or concerning) these (persons or things)
- ἐντολήentolḗinjunction, i.e. an authoritative prescription
- μίαmíaone or first
- διδάσκωdidáskōto teach (in the same broad application)
- καλέωkaléōto "call" (properly, aloud, but used in a variety of applications, directly or otherwise)
- βασιλείαbasileíaproperly, royalty, i.e. (abstractly) rule, or (concretely) a realm (literally or figurativ
+maneno 13 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Deu 12:32, Jas 2:10–11, Mat 28:20, Rom 13:8–10, Mat 11:11, 1Ti 6:3–4, Dan 12:3, 1Th 4:1–7