Mathayo 3:11
“Mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba. Lakini nyuma yangu anakuja yeye aliye na uwezo kuliko mimi, ambaye sistahili hata kuvichukua viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu wa Mungu na kwa moto.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- ὑπόδημαhypódēmasomething bound under the feet, i.e. a shoe or sandal
- μετάνοιαmetánoia(subjectively) compunction (for guilt, including reformation); by implication, reversal (o
- ἰσχυρόςischyrósforcible (literally or figuratively)
- βαστάζωbastázōto lift, literally or figuratively (endure, declare, sustain, receive, etc.)
- ὀπίσωopísōto the back, i.e. aback (as adverb or preposition of time or place; or as noun)
- ἱκανόςhikanóscompetent (as if coming in season), i.e. ample (in amount) or fit (in character)
- ὕδωρhýdōrwater (as if rainy) literally or figuratively
- βαπτίζωbaptízōto immerse, submerge; to make whelmed (i.e. fully wet); used only (in the New Testament) o
+maneno 16 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.