MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

Mathayo 21:32

Kwa maana Yahya alikuja kwenu kuwaonesha njia ya haki, lakini hamkumsadiki, lakini watoza ushuru na makahaba wakamsadiki. Nanyi hata mlipoona hayo, baadaye hamkutubu na kumsadiki.

Soma katika muktadha

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/mat/21/32" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Mathayo 21:32 — MEGA.Bible"></iframe>