Mathayo 12:42
Malkia wa Kusini atasimama wakati wa hukumu na kukihukumu kizazi hiki. Kwa kuwa yeye alikuja kutoka miisho ya dunia ili kuisikiliza hekima ya Sulemani. Na hapa yupo aliye mkuu kuliko Sulemani.Mathayo 12:42 katika ulimwengu halisi
Wapi
Nani
Kwa maneno gani
- πέραςpérasan extremity
- βασίλισσαbasílissaa queen
- νότοςnótosthe south(-west) wind; by extension, the southern quarter itself
- ΣολομώνSolomṓnSolomon (i.e. Shelomoh), the son of David
- κατακρίνωkatakrínōto judge against, i.e. sentence
- γενεάgeneáa generation; by implication, an age (the period or the persons)
- κρίσιςkrísisdecision (subjectively or objectively, for or against); by extension, a tribunal; by impli
- σοφίαsophíawisdom (higher or lower, worldly or spiritual)
+maneno 13 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
1Ki 10:1–13, 2Ch 9:1–12, Heb 1:2–4, Luk 11:31–32, Mat 17:5, Jhn 1:14, Mat 3:17, Isa 9:6–7
